Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 4:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Wafilistini waliposikia sauti hiyo ya furaha walisema: “Kelele hiyo yote katika kambi ya Waebrania ina maana gani?” Walipojua kwamba Sanduku la Agano la Yawe lilikuwa limefika katika kambi ya Waisraeli,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 4:6
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakubwa wa waaskari wa Wafilistini waliuliza: “Waebrania hawa wanafanya nini hapa?” Akisi akawajibu wale wakubwa wa Wafilistini: “Huyu ni Daudi, mutumishi wa Saulo mufalme wa Israeli; naye amekuwa nami kwa miaka fulani. Na tangu alipokimbilia kwangu, sijamupata na kosa lolote.”


Sanduku la Agano la Yawe lilipofika katika kambi Waisraeli wote walishangilia kwa furaha, hata inchi yote ikatikisika.


Wafilistini waliogopa. Wakasema: “Bila shaka, miungu imefika katika kambi yao! Ole wetu! Jambo kama hili halijatokea tangia zamani.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ