Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 4:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Wakati huo, Eli alikuwa na umri wa miaka makumi kenda na nane na macho yake yalikuwa yamepofuka.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 4:15
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Na ilikuwa wakati Isaka alipokuwa muzee na macho yake yalikuwa zaifu hata hakuweza kuona tena, akaita Esau mwana wake mukubwa, akamwambia: “Mwana wangu!” Naye akaitika: “Niko hapa!”


Basi, muke wa Yeroboamu akaondoka, akaenda Shilo kwa Ahiya. Wakati ule, Ahiya alikuwa hawezi tena kuona sawasawa kwa sababu ya uzee.


Muda wa maisha yetu ni miaka makumi saba, au tukikuwa wenye afya, miaka makumi nane; lakini yote ni shida na taabu! Siku zinapita mbio, nasi tunatoweka!


Siku moja usiku, Eli ambaye macho yake yalikuwa yamefifia, alikuwa amelala katika chumba chake.


Eli aliposikia sauti ya kilio, akauliza: “Kelele hizo ni za nini?” Yule mutu akaenda haraka kwa Eli kwa kumupa habari hizo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ