Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 31:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Kesho yake, Wafilistini walipokwenda kutwaa vitu vya wale waliouawa, waliikuta maiti ya Saulo na wana wake kwenye mulima Gilboa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 31:8
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Musiuambie muji wa Gati jambo lile wala katika barabara za Askeloni, kusudi wanawake wa Wafilistini wasishangilie, wabinti za wapagani wasifurahi.


Enyi milima ya Gilboa, musikuwe na umande au mvua juu yenu. Wala mashamba yenu yasitoe chochote siku zote. Maana kule ngao za shujaa zilichafuliwa, ngao ya Saulo haikupakaliwa mafuta.


Kesho yake, Wafilistini walipokwenda kutwaa vitu vya wale waliouawa, wakakuta maiti ya Saulo na wana wake kwenye mulima Gilboa.


Yosafati na waaskari wake wakaenda kukamata vitu. Wakakuta ngombe wengi, mali, nguo na vitu vingine vya bei kali. Iliwachukua muda wa siku tatu kusomba vitu hivyo, na hata hivyo, hawakuvimaliza maana vilikuwa vingi sana.


Wafilistini walikusanyika na kupiga kambi yao kule Sunemi; na Saulo aliwakusanya Waisraeli wote na kupiga kambi yao kwenye mulima Gilboa.


Nao Waisraeli waliokuwa upande wa pili wa bonde, na wengine waliokuwa upande wa mashariki wa muto Yordani walipoona kwamba Waisraeli wamekimbia, naye Saulo na wana wake wamekufa, waliihama miji yao, wakakimbia. Wafilistini wakaenda na kukaa katika miji hiyo.


Walikata kichwa cha Saulo na kumuvua silaha zake. Halafu waliwatuma wajumbe katika inchi yao yote ya Filistia kutangaza habari njema katika nyumba ya sanamu zao na kwa watu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ