Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 31:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Halafu yule aliyemubebea silaha aliona kwamba Saulo amekufa, naye vilevile aliuangukia upanga wake, akakufa pamoja na Saulo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 31:5
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Simuri alipoona kwamba muji umekamatwa, akaingia katika munara, ndani ya nyumba ya kifalme, akaichoma kwa moto, naye akakufia mule.


Wakati yule aliyemubebea silaha alipoona kwamba Saulo amekufa, naye vilevile akauangukia upanga wake, akakufa.


Kisha Abimeleki akamwita haraka kijana wake aliyemubebea silaha akamwambia: “Twaa upanga wako uniue, watu wasipate kusema kwamba niliuawa na mwanamuke.” Kijana akatwaa upanga wake, akamuchoma na kumwua.


Halafu Saulo akamwambia mutu aliyemubebea silaha: “Chomoa upanga wako unichome nikufe, kusudi watu hawa wapagani wasikuje kunichoma upanga na kunichekelea.” Lakini yule aliyemubebea silaha hakusubutu kwa sababu aliogopa sana. Kwa hiyo, Saulo alitwaa upanga wake mwenyewe, na kuuangukia.


Hivi ndivyo Saulo alivyokufa na wana wake watatu, vilevile na mutu aliyemubebea silaha pamoja na watu wake wote katika siku ileile moja.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ