28 wakaaji wa Aroeri, wakaaji wa Sifumoti, wakaaji wa Estemoa,
ilikuwa kuanzia Aroeri pembeni ya bonde la Arnoni na muji uliokuwa katika bonde hilo pamoja na inchi yote ya bonde ya Medeba.
Yatiri pamoja na mbuga zake za malisho, Estemoa pamoja na mbuga zake za malisho,