1 Samweli 30:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200222 Lakini watu wote waovu na wa ovyo ovyo kati ya watu waliofuatana na Daudi, wakasema: “Hatutawapa watu hawa kitu chochote tulichokikomboa maana hawakuendelea pamoja nasi. Lakini wawatwae wake zao na watoto wao, waende zao.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |