1 Samweli 30:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200216 Yule kijana alimwongoza Daudi mpaka kwenye kundi lile. Walipofika kule waliwakuta wanyanganyi wale wakiwa wametawanyika kila pahali maana walikuwa wakikula na kunywa kwa sababu vitu walivyonyanganya kutoka inchi ya Wafilistini na inchi ya Yuda vilikuwa vingi sana. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |