Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 30:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Daudi akamwuliza: “Bwana wako ni nani? Na umetoka wapi?” Yeye akamwambia: “Mimi ni kijana Mumisri. Ni mutumishi wa Mwamaleki mumoja. Bwana wangu aliniacha nyuma siku tatu zilizopita kwa maana nilikuwa mugonjwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 30:13
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Daudi akamwuliza yule kijana aliyemupasha habari: “Unatoka wapi?” Yeye akajibu: “Mimi ni Mwamaleki, lakini ninaishi katika inchi yako kama mugeni.”


Daudi akamwambia: “Unatoka wapi?” Naye akamwambia: “Nimetoroka kutoka katika kambi ya Waisraeli.”


yeye aliniuliza mimi ni nani, nami nikamwambia kwamba mimi ni Mwamaleki.


Mutu mwenye haki anajali nyama wake, lakini huruma za waovu ni kutesa tu.


Kwa hiyo wakaanza kumwuliza: Sasa utuambie! Kwa nini hasara hii inatupata? Unafanya kazi gani? Umetoka wapi? Inchi yako ni gani? Uko wa kabila gani?


Kwa sababu Mungu hatahurumia mutu yule asiyehurumia wengine. Lakini huruma ya Mungu itaishinda hukumu.


Vilevile walimupa kipande cha mukate wa tini na vishada viwili vya zabibu zenye kukauka. Alipomaliza kula, akapata nguvu, maana alikuwa hajakula wala kunywa kitu chochote kwa muda wa siku tatu, muchana na usiku.


Sisi tulishambulia Negebu ya Wakereti na eneo la Yuda pamoja na Negebu ya Kalebu. Muji wa Ziklagi tuliuteketeza kwa moto.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ