1 Samweli 30:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200213 Daudi akamwuliza: “Bwana wako ni nani? Na umetoka wapi?” Yeye akamwambia: “Mimi ni kijana Mumisri. Ni mutumishi wa Mwamaleki mumoja. Bwana wangu aliniacha nyuma siku tatu zilizopita kwa maana nilikuwa mugonjwa. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |