Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 30:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Wale watu waliokuwa na Daudi walimukuta mutu mumoja Mumisri katika jangwa, nao wakamupeleka kwa Daudi. Wakamupa mutu yule mukate na maji.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 30:11
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Adui yako akiwa na njaa, umupe chakula; akiwa na kiu, umupe maji ya kunywa.


Kwa maana nilisikia njaa, mukanipa chakula; nilisikia kiu, mukanipa maji; nilikuwa mugeni, mukanikaribisha;


Kwa hiyo, musiwasaidie hao hata kidogo kusudi wapate amani na fanaka.


“Musiwachukie Waedomu; hao ni wandugu zenu. Na musiwachukie Wamisri, maana mulikaa katika inchi yao kama vile wageni.


Lakini Daudi aliendelea kulifuatilia lile kundi akiwa na watu mia ine. Watu mia mbili wakabaki pale kwa sababu walichoka sana hata hawakuweza kuvuka kijito kile.


Vilevile walimupa kipande cha mukate wa tini na vishada viwili vya zabibu zenye kukauka. Alipomaliza kula, akapata nguvu, maana alikuwa hajakula wala kunywa kitu chochote kwa muda wa siku tatu, muchana na usiku.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ