Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 3:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Siku moja usiku, Eli ambaye macho yake yalikuwa yamefifia, alikuwa amelala katika chumba chake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 3:2
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Na ilikuwa wakati Isaka alipokuwa muzee na macho yake yalikuwa zaifu hata hakuweza kuona tena, akaita Esau mwana wake mukubwa, akamwambia: “Mwana wangu!” Naye akaitika: “Niko hapa!”


Macho ya Israeli yalikuwa hayaoni vizuri kwa sababu ya uzee. Basi, Yosefu akasogeza wana wake karibu na baba yake, naye akawabusu na kuwakumbatia.


Lakini baba yake akakataa, akisema: “Ninajua, mwana wangu, ninajua. Wana wa Manase vilevile watakuwa taifa na wakubwa. Hata hivyo, ndugu yake mudogo atakuwa mukubwa kuliko yeye na wazao wake watakuwa mataifa mengi.”


Basi, muke wa Yeroboamu akaondoka, akaenda Shilo kwa Ahiya. Wakati ule, Ahiya alikuwa hawezi tena kuona sawasawa kwa sababu ya uzee.


Muda wa maisha yetu ni miaka makumi saba, au tukikuwa wenye afya, miaka makumi nane; lakini yote ni shida na taabu! Siku zinapita mbio, nasi tunatoweka!


walinzi wa nyumba wanatetemeka, wenye nguvu wanakunjama, wasagaji wanaacha kazi kwa sababu ni wachache, wanaochungulia kwenye dirisha wanakuwa zaifu,


Wakati ule, Eli alikuwa muzee sana. Aliposikia yote ambayo wana wake walikuwa wanawatendea Waisraeli, jinsi walivyokuwa wanalala na wanawake waliokuwa wanatumika kwenye mulango wa Hema ya Kusanyiko,


Wakati huo, Eli alikuwa na umri wa miaka makumi kenda na nane na macho yake yalikuwa yamepofuka.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ