1 Samweli 29:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Akisi akamwita Daudi na kumwambia: “Kama vile Yawe anavyoishi, umekuwa mutu wa usawa. Ingekuwa jambo zuri kwangu tuende wote katika vita, kwa maana sijaona jambo baya lolote kwako tangu siku ile ulipokuja kwangu mpaka leo hii. Hata hivyo, wakubwa hawajapendezwa nawe. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |