1 Samweli 28:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Basi, Saulo akajigeuza na kuvaa nguo zingine, akaenda kule pamoja na watu wake wawili. Walifika kwa yule mwanamuke usiku. Saulo akamwambia: “Unifanyie uaguzi na kunipandishia mutu yeyote nitakayekutajia.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |