1 Samweli 28:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200214 Saulo akamwambia yule mwanamuke: “Ni mufano wa nani?” Yule mwanamuke akamwambia: “Mwanaume muzee anapanda juu, naye anajifunika kanzu.” Halafu, Saulo akatambua kwamba yule ni Samweli. Saulo akainama uso mpaka chini, kwa heshima. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |