Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 28:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Yule mwanamuke alipomwona Samweli akalalamika kwa sauti kubwa, akamwambia Saulo: “Kwa nini umenidanganya? Wewe ni Saulo!”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 28:12
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Asubui, Yakobo akatambua kwamba ni Lea! Basi, akamwuliza Labani: “Umenitendea jambo gani? Si nilikutumikia kwa ajili ya Rakeli? Mbona basi, umenidanganya?”


Yawe alikuwa amekwisha kumwambia Ahiya kwamba muke wa Yeroboamu alikuwa katika njia, anakuja kumwuliza yatakayomupata mwana wake mugonjwa, na jinsi atakavyomujibu. Muke wa Yeroboamu alipofika, alijisingizia kuwa mutu mwingine.


Yule mwanamuke akamwuliza: “Nikupandishie nani kutoka kule?” Saulo akajibu: “Unipandishie Samweli.”


Mufalme Saulo akamwambia: “Usiogope! Unaona nini?” Yule mwanamuke akamujibu: “Ninaona mungu akipanda toka ndani ya udongo.”


Wakati ule, Samweli alikuwa amekwisha kufa, na Waisraeli wote walikuwa wamekwisha kumwombolezea na kumuzika katika muji wake Rama. Saulo alikuwa amewafukuza kutoka katika inchi wenye kutabiri na wachawi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ