1 Samweli 28:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Nyuma ya muda fulani, Wafilistini walikusanya waaskari wao tayari kwenda kupigana na Waisraeli. Akisi akamwambia Daudi: “Uelewe vizuri kwamba wewe na watu wako munapaswa kwenda pamoja nami kupigana vita.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |