1 Samweli 26:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Abisai akamwambia Daudi: “Leo Mungu amemutia adui yako katika mikono yako. Basi, uniache nimushindilie katika udongo kwa pigo moja tu la mukuki. Sitamupiga mara mbili.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |