1 Samweli 26:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Kwa hiyo usiku, Daudi na Abisai wakaingia kwenye kambi ya Saulo, wakamukuta Saulo amelala katikati ya kambi hiyo, na mukuki wake umechomekwa katika udongo karibu na kichwa chake. Abeneri pamoja na waaskari walikuwa wamelala na kumuzunguka Saulo. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |