1 Samweli 26:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025 Daudi akatoka, akaenda pahali Saulo alipopiga kambi. Akaona pahali ambapo Saulo alikuwa amelala. Saulo alikuwa pamoja na Abeneri mwana wa Neri, mukubwa wa waaskari, katikati ya kambi akizungukwa na waaskari wake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |