1 Samweli 26:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200216 Ulilotenda si jambo zuri. Kama vile Yawe anavyoishi, unastahili kufa, maana haukumulinda bwana wako, ambaye ni muchaguliwa wa Yawe. Sasa angalia, mukuki wa mufalme na ule mufuko wa maji uliokuwa karibu na kichwa chake kama vipo!” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |