Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 26:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Kwa hiyo, Daudi alitwaa ule mukuki na mufuko wa maji karibu na kichwa cha Saulo nao wakajiendea zao. Lakini hakuna mutu aliyeona au kujua tukio hilo, wala hakuna aliyeamuka, maana Yawe aliwaletea usingizi muzito.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 26:12
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Jua lilipokuwa likitua, Abramu akashikwa na usingizi muzito. Hofu na giza nene vikamufunika.


Basi, Yawe Mungu akamuletea yule mwanaume usingizi muzito, na alipokuwa katika usingizi, akatwaa ubavu wake mumoja na kupafunika pahali pale kwa nyama.


Usiku ule, mufalme hakupata usingizi. Basi, akaamuru kitabu cha Mambo ya Siku cha matukio ya kila siku, kiletwe, nacho kikasomwa mbele yake.


Yawe amewamwangia roho ya usingizi; macho yenu yasipate kuona enyi manabii, amefunika vichwa vyenu enyi wenye kupata maono.


Saulo alipokuwa anasafiri, alifika kwenye pango moja lililokuwa karibu na zizi la kondoo, akaingia mule ndani ya pango kwa kujisaidia. Daudi na watu wake walikuwa wakiikaa ndani kabisa ya pango lile.


Kisha, Daudi akaenda upande wa pili wa bonde hilo, akasimama juu kwenye mulima mbali na kundi la Saulo.


Kwa hiyo usiku, Daudi na Abisai wakaingia kwenye kambi ya Saulo, wakamukuta Saulo amelala katikati ya kambi hiyo, na mukuki wake umechomekwa katika udongo karibu na kichwa chake. Abeneri pamoja na waaskari walikuwa wamelala na kumuzunguka Saulo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ