1 Samweli 26:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 Kwa hiyo, Daudi alitwaa ule mukuki na mufuko wa maji karibu na kichwa cha Saulo nao wakajiendea zao. Lakini hakuna mutu aliyeona au kujua tukio hilo, wala hakuna aliyeamuka, maana Yawe aliwaletea usingizi muzito. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |