Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 25:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Basi, Daudi akiwa kule katika jangwa alisikia kwamba Nabali alikuwa anawakata kondoo wake manyoya kule Karmeli.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 25:4
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Tamari aliposikia kwamba baba mukwe wake alikuwa katika njia kwenda Timuna kukata manyoya ya kondoo wake,


Nyuma ya miaka miwili mizima, Abusaloma alikuwa na shuguli ya kuwakata kondoo wake manyoya katika muji wa Bali-Hazori, karibu na Efuraimu. Akawaalika wana wote wa mufalme.


Mutu yule aliitwa Nabali na muke wake aliitwa Abigaili. Abigaili alikuwa mwanamuke mwenye akili na sura nzuri. Lakini Nabali alikuwa mutu wa chuki na mutenda maovu; tena alikuwa wa ukoo wa Kalebu.


Kwa hiyo, akawatuma vijana kumi, akawaambia: “Mwende kwa Nabali kule Karmeli mumupelekee salamu zangu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ