Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 25:33 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

33 Umutukuze Yawe aliyekupa hekima kwa kunizuia kuwa na kosa la umwangaji wa damu na kujilipiza kisasi mimi mwenyewe.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 25:33
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Afazali mutu mwema anipige kwa kunionya; lakini sikubali hata kidogo kusifiwa na wabaya, maana ninaomba siku zote juu ya maovu yao.


Lakini mwizi akishikwa wakati jua limechomoza na kuuawa, aliyemwua atakuwa na kosa. Mwizi anapaswa kulipa. Ikiwa hana kitu cha kulipa, basi, yeye mwenyewe atauzishwa kwa kulipa kile alichoiba.


Mafundisho ya wenye hekima ni chemichemi ya uzima; inamwezesha mutu kuepuka mitego ya kifo.


Onyo kwa mwenye akili lina maana, kuliko mapigo mia moja kwa mupumbafu.


Onyo la mwenye hekima kwa mutu musikilivu ni bora kuliko pete au ushanga wa zahabu safi.


Zahabu na feza vinapimwa kwa moto, na mutu anapimwa kutokana na sifa zake.


Anayemwonya mwenzake kwa mwisho atasifiwa naye, kuliko yule anayemubembeleza kwa maneno matamu.


Umufundishe mwenye hekima naye atazidi kuwa na hekima; umufundishe mutu wa haki naye atazidi kuwa na elimu.


Leo, umeonyesha jinsi unavyokuwa muzuri kwangu. Haukuniua ijapokuwa Yawe alinitia katika mikono yako.


Sasa bwana wangu, kama vile Yawe anavyoishi na kama vile unavyoishi, unaona kwamba Yawe amekuzuia kulipiza kisasi kwa kumwanga damu na hivyo upate kuwa na kosa. Uwaache waadui zako na wale wote wanaokutakia mabaya wakuwe wapumbafu kama Nabali.


wewe bwana wangu, hautakuwa na sababu ya kujuta wala kuhukumiwa na zamiri kutokana na kumwanga damu bila sababu kwa kujilipiza kisasi. Lakini, Yawe atakapokuwa amekutendea vizuri, ninakuomba, bwana wangu, unikumbuke mimi mujakazi wako.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ