Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 25:24 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

24 Alijitupa kwenye miguu ya Daudi na kumwambia: “Bwana wangu, kosa lote likuwe juu yangu tu. Ninakuomba niongee nawe mimi mujakazi wako. Ninakuomba usikilize maneno ya mujakazi wako.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 25:24
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu Yuda akamukaribia Yosefu na kumwambia: “Bwana, ninakuomba uniruhusu mimi mutumishi wako, nijitetee mbele yako kwa maneno machache. Ninakusihi usinikasirikie, maana wewe ni kama mufalme wa Misri mwenyewe.


Yule mwanamuke akamwambia: “Ninakuomba, mimi mujakazi wako, uniruhusu niseme neno moja kwa ajili yako mufalme.” Mufalme akamwambia: “Sema”.


Yule mwanamuke kutoka Tekoa akasema: “Bwana wangu mufalme, makosa yote yakuwe juu yangu na juu ya jamaa ya baba yangu. Hivyo, wewe na ufalme wako musikuwe na kosa.”


Yoabu akaenda karibu naye, huyo mwanamuke akamwambia: “Wewe ndiwe Yoabu?” Yoabu akasema: “Ndiyo! Ni mimi.” Yule mwanamuke akamwambia: “Unisikilize mimi mujakazi wako.” Yoabu akamwambia: “Ninasikiliza.”


Akainama kwenye miguu ya Elisha kwa shukrani na kumukamata mwana wake.


Kisha Esteri akazungumuza tena na mufalme; akajitupa chini, kwenye miguu ya mufalme, naye akilia, akamusihi mufalme aukomeshe mupango mubaya ambao Hamani, wa uzao wa Agagi, alikuwa amepanga juu ya Wayuda.


Kwa uvumilivu mutawala anaweza kusadikishwa; ulimi laini unavunja mifupa.


Mutawala akikukasirikia, usiache kazi; makosa makubwa yanaweza kufutwa ukiwa munyenyekevu.


Huyo mutumishi mwenzake akamupigia magoti na kumusihi, akisema: ‘Ninakuomba univumilie, nami nitakulipa deni lako!’


Kwa maneno hayo, Daudi akawashawishi watu wake wasimuzuru Saulo; aliwakataza wasimushambulie. Kisha Saulo akasimama, akatoka ndani ya pango akaendelea na safari yake.


Abigaili alipomwona tu Daudi, akashuka mara moja kutoka juu ya punda wake, na kuinama mbele ya Daudi mpaka uso wake ukagusa chini.


Usimwangalie Nabali ambaye ni mutu mubaya. Maana jina lake la Nabali linamustahili. Yeye anaitwa Nabali; na kweli yeye ni mutu mupumbafu. Bwana wangu, wale vijana wako ulipowatuma, mimi mujakazi wako sikuwaona.


Ninakuomba unisamehe mimi mujakazi wako. Yawe atakupa jamaa imara kwa sababu, wewe bwana wangu, unapigana vita ya Yawe. Wakati wote wa maisha yako usipatikane na ubaya wowote.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ