Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 25:22 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

22 Mungu aniue mimi ikiwa kesho asubui nitakuwa sijawaua wanaume wake wote.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 25:22
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, sasa nitailetea jamaa hii ya Yeroboamu hasara, nitawaua wanaume wote wa jamaa yake katika Israeli, akuwe mutumwa au huru. Watu wa jamaa yake wote nitawateketeza kama vile mutu anavyoteketeza mavi, mpaka yatoweke.


Mara tu alipoanza kutawala, Simuri aliwaua watu wote wa jamaa ya Basha. Hakumwacha hata mwanaume mumoja wa jamaa yake wala warafiki zake.


Basi! Yawe anasema hivi: ‘Hakika, nitakuletea maangamizi. Nitakuletea hasa wewe na kuangamiza kila mwanaume wa ukoo wako katika Israeli, akuwe mutumwa au huru.


Utafanya hivyo kwa sababu jamaa yote ya Ahabu itaangamia. Tena nitamwua kila mwanaume wa jamaa ya Ahabu akuwe mutumwa au mutu huru.


Pale utakapokufia ni pale nitakufia nami, na ni palepale nitazikwa. Yawe anipe azabu kali kama nikitenganishwa nawe isipokuwa tu kwa kifo.”


Saulo akasema: “Mungu aniue ikiwa Yonatani hatauawa.”


Yawe aniue ikiwa Saulo anakusudia kukuzuru nami nisipokujulisha kusudi uende pahali pa mbali ambapo utakuwa salama. Yawe akuwe pamoja nawe kama alivyokuwa pamoja na baba yangu.


ninaomba jina langu lisikatiliwe kabisa kutoka katika jamaa yako. Yawe awalipize kisasi waadui zako.”


Eli akamwuliza: “Yawe alikuambia nini? Usinifiche alichokuambia. Ikiwa utanificha kitu alichokuambia, Mungu akuazibu vikali.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ