Basi, sasa nitailetea jamaa hii ya Yeroboamu hasara, nitawaua wanaume wote wa jamaa yake katika Israeli, akuwe mutumwa au huru. Watu wa jamaa yake wote nitawateketeza kama vile mutu anavyoteketeza mavi, mpaka yatoweke.
Basi! Yawe anasema hivi: ‘Hakika, nitakuletea maangamizi. Nitakuletea hasa wewe na kuangamiza kila mwanaume wa ukoo wako katika Israeli, akuwe mutumwa au huru.
Yawe aniue ikiwa Saulo anakusudia kukuzuru nami nisipokujulisha kusudi uende pahali pa mbali ambapo utakuwa salama. Yawe akuwe pamoja nawe kama alivyokuwa pamoja na baba yangu.