Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 25:21 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

21 Daudi alikuwa akifikiri: “Mimi nimekuwa nikilinda mali yote ya Nabali katika jangwa bila faida yoyote na hakuna kitu chake chochote kilichopotea, naye amenilipa mabaya kwa mazuri niliyomutendea.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 25:21
19 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Walipokuwa wamesafiri mwendo mufupi tu kutoka muji, Yosefu akamwambia musimamizi wa nyumba yake: “Haraka! Ufuate wale watu, na utakapowakuta, uwaulize: ‘Kwa nini mumelipa mema muliyotendewa kwa maovu? Kwa nini mumeiba kikombe cha bwana wangu ambacho


Walikuwa wapumbafu wakubwa na waovu ambao walilazimishwa kufukuzwa katika inchi kwa fimbo.


Wananilipa mabaya kwa mazuri; nami pekee nimebaki ukiwa.


Usiwake hasira wala kuwa na kasirani; usihangaike, maana hiyo inazidisha ubaya.


Waadui zangu ni wazima, wana nguvu, ni wengi sana hao wanaonichukia bure.


Mwenye kulipa mazuri kwa mabaya, mabaya hayataondoka katika nyumba yake.


Mutu analipwa mabaya kwa mema? Lakini, wamenichimbia shimo. Kumbuka jinsi nilivyosimama mbele yako, nikasema mema kwa ajili yao, kusudi niepushe hasira yako mbali nao.


Usijiachilie kushindwa na ubaya, lakini ushinde ubaya kwa kutenda mema.


Kama mukikasirika, musianguke katika zambi, kasirani yenu isidumu muchana kutwa,


Mutupilie mbali nanyi nia zote za uadui, chuki, kasirani, fujo na masingizio. Mutupilie mbali ubaya wa kila namna!


Muangalie vema, hata mumoja wenu asimurudishie mwenzake ubaya kwa ubaya, lakini mutafutiane wema ninyi kwa ninyi na kwa watu wote.


Kwa maana kuteswa kwa ajili ya kutenda mema, ikiwa ni mapenzi ya Mungu, ni vizuri kuliko kuteswa kwa ajili ya kutenda mabaya.


Musirudishiane mabaya kwa mabaya au matusi kwa matusi, lakini muombeane baraka, kwa sababu Mungu aliahidi kuwabariki ninyi wakati alipowaita kumufuata.


Kwa hiyo Daudi akawaambia watu wake: “Kila mutu apakatie upanga wake kwenye kiuno.” Kila mutu akapakatia upanga wake, na Daudi vilevile akapakatia upanga wake. Watu yapata mia ine wakamufuata Daudi na watu mia mbili wakabaki na mizigo.


Lakini watu hao walikuwa wema sana kwetu, hawakutuzuru; na wakati wote tulipokuwa nao kule katika jangwa hatukukosa kitu chochote.


Alipokuwa anateremuka, akipanda juu ya punda wake, na kukingwa na mulima upande mumoja, akakutana kwa rafla na Daudi na watu wake wakiwa wanaelekea upande anakotoka.


Nimesikia kwamba unawakata kondoo wako manyoya. Ninataka ujue kwamba wachungaji wako walikuwa pamoja nasi, nasi hatukuwazuru. Tena muda wote walipokuwa pamoja nasi katika muji wa Karmeli, hawakukosa kitu chochote.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ