Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 25:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Nikamate mikate yangu, maji yangu na nyama niliyowachinjia wakata manyoya ya kondoo wangu na kuwapa watu ambao sijui hata wanatoka wapi?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 25:11
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nimekula chakula changu peke yangu, bila kuwaachia wayatima nao wapate kitu chochote?


kama watu wasiojulikana ingawa tunajulikana vizuri, kama wanaokufa ingawa sisi ni wazima. Tunaazibiwa lakini hatuuawi,


Basi, tunapokuwa bado na wakati, tufanye mema kwa watu wote, na zaidi kwa wandugu zetu katika imani.


Hivyo mufanye angalisho kusudi musijisemeshe ndani ya mioyo yenu: ‘Tumejitajirisha kwa uwezo na nguvu zetu wenyewe’.


Mukaribishane ninyi kwa ninyi pasipo kunungunika.


Gideoni akarudi kwa watu wa Sukoti, akawaambia: “Si mutakumbuka mulivyonitukana muliposema: ‘Kwa nini tuwape mikate watu wako waliochoka sana nanyi hamujamushinda Sadaka na Kivuli?’ Haya basi, Sadaka na Kivuli ndio hawa.”


Lakini viongozi wa Sukoti wakamwuliza: “Kwa nini tuwape mikate nanyi hamujamushinda Sadaka na Kivuli?”


Kutoka kule akawaendea watu wa Penueli, akawaomba namna ileile. Nao watu wa Penueli wakamujibu kama vile watu wa Sukoti walivyomujibu.


Yawe aamue kati yangu na wewe. Naye ndiye akulipize kisasi lakini mimi sitanyoosha mukono wangu juu yako hata kidogo.


Basi, wale vijana wa Daudi walirudi na kumwambia Daudi namna walivyojibiwa.


Mutu yule aliitwa Nabali na muke wake aliitwa Abigaili. Abigaili alikuwa mwanamuke mwenye akili na sura nzuri. Lakini Nabali alikuwa mutu wa chuki na mutenda maovu; tena alikuwa wa ukoo wa Kalebu.


Nimesikia kwamba unawakata kondoo wako manyoya. Ninataka ujue kwamba wachungaji wako walikuwa pamoja nasi, nasi hatukuwazuru. Tena muda wote walipokuwa pamoja nasi katika muji wa Karmeli, hawakukosa kitu chochote.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ