Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 24:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Daudi akaanza kufazaika ndani ya moyo kwa sababu alikata pindo la nguo ya Saulo kwa siri.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 24:6
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Daudi akamwuliza: “Ilikuwa namna gani wewe haukuogopa kuunyoosha mukono wako na kumwua muchaguliwa wa Yawe?”


Lakini Daudi alisumbuliwa sana katika roho yake kisha kuwahesabu watu. Kwa hiyo, Daudi akamwambia Yawe: “Nimetenda zambi kubwa kwa tendo nililolifanya. Lakini sasa, ee Yawe, ninakusihi unisamehe mimi mutumishi wako, maana nimefanya jambo la kipumbafu kabisa.”


Lakini, Naboti akamujibu: “Jambo la kukupa wewe urizi nilioupata kwa wazee wangu, Yawe alipitishe mbali.”


Lakini mimi ninawaambia: muwapende waadui zenu na muwaombee wale wanaowatesa.


Mumwombe Mungu awabariki wale wanaowatesa; muwaombee baraka wala musiwalaani.


Muangalie vema, hata mumoja wenu asimurudishie mwenzake ubaya kwa ubaya, lakini mutafutiane wema ninyi kwa ninyi na kwa watu wote.


Niko hapa, na kama nimefanya tendo lolote baya, basi, mutoe ushuhuda mbele ya Yawe na mbele ya mufalme wake muchaguliwa. Nimenyanganya ngombe dume au punda wa mutu yeyote? Nimemugandamiza mutu yeyote? Nimemutesa mutu yeyote? Nimepokea kituliro kwa mutu yeyote kusudi nifunge macho mbele ya matendo yake? Museme nami nitamurudishia kitu chochote kile.”


Akawaambia watu wake: “Yawe anizuie nisimutendee kitendo kama hiki bwana wangu ambaye ni muchaguliwa wa Yawe. Nisiunyooshe mukono wangu juu ya mutu ambaye Yawe amemupakaa mafuta.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ