Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 24:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Daudi aliondoka pahali pale, akaenda kuishi kwenye makimbilio ya muji wa Engedi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 24:1
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Uwaondoe waovu mbele ya mufalme, na utawala wake utaimarika katika haki.


Mutawala akisikiliza mambo ya uongo, wakubwa wake wote watakuwa waovu.


Kwako kuna wanaowasingizia wengine kusudi wauawe. Wakaaji wako wanashiriki chakula kilichotolewa kwa miungu juu ya milima. Watu wako wanatenda uasherati.


Wavuvi watasimama kandokando ya bahari, na nafasi toka Engedi mpaka Eni-Eglaimu itakuwa ya kuanikia nyavu. Kutakuwa aina nyingi za samaki kama zinavyokuwa katika bahari ya Mediteranea.


Wanamufurahisha mufalme, lakini ni waovu; wanawafurahisha wakubwa, lakini ni wanafiki.


Saulo alipokuwa angali kule Gibea, Wazifu wakamwendea na kumwambia: “Daudi anajificha katika inchi yetu kwenye makimbilio kule Horeshi, kwenye mulima Hakila, unaokuwa upande wa kusini wa jangwa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ