Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 23:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Basi, Daudi akaenda Keila pamoja na watu wake, na kule akapigana na Wafilistini, akawaua Wafilistini wengi na kunyanganya ngombe wengi. Kwa hiyo Daudi aliwaokoa wakaaji wa Keila.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 23:5
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wewe ulinijalia nguvu ya kupigana vita; uliwaporomosha waadui chini yangu.


Niliwafuata waadui zangu na kuwakamata; sikurudi nyuma mpaka wamemalizika.


Waadui zangu ni wazima, wana nguvu, ni wengi sana hao wanaonichukia bure.


Kisha kulikuwa vita tena kati ya Wafilistini na Waisraeli. Daudi alitoka akapigana na Wafilistini, akawaua Wafilistini wengi na waliobaki wakamukimbia.


Daudi akamwomba tena Yawe shauri, naye Yawe akamwambia: “Simama uende Keila maana nitawatia Wafilistini katika mikono yako.”


Abiatari mwana wa Ahimeleki, alipokimbilia kwa Daudi kule Keila, alikwenda na kizibao cha kuhani.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ