Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 23:25 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

25 Saulo na watu wake wakaanza kumutafuta Daudi. Lakini Daudi alipopata habari zile, alikwenda kujificha kwenye mawe makubwa, yanayokuwa katika mbuga za Maoni na kukaa kule. Saulo aliposikia habari zile, alimufuatilia Daudi kule kwenye mbuga za Maoni.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 23:25
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Alisema: Yawe ni: kikingio changu, kimbilio langu, mukombozi wangu,


Basi, akawashambulia vikali na kuwaua wengi. Kisha akaenda kuishi katika pango la Etamu lililokuwa chini ya jiwe.


Basi, wakaondoka kwenda Zifu, wakimutangulia Saulo. Wakati ule, Daudi na watu wake walikuwa katika mbuga za Maoni, katika bonde la Araba upande wa kusini wa jangwa.


Saulo na watu wake walikuwa upande mumoja wa mulima, na Daudi na watu wake walikuwa upande mwingine wa mulima. Daudi alipokuwa anaharakisha kukimbia, Saulo naye alikuwa anamukaribia kwa kumukamata Daudi.


Kwa hiyo, Saulo akaacha kumufuatilia Daudi, akaenda kupigana na Wafilistini. Ndiyo maana pahali pale pakaitwa “Jiwe la Matengano.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ