Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 23:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Sasa, mufalme, ukuje kusudi utimize mambo yanayokuwa ndani ya moyo wako, na kwa upande wetu, kazi yetu itakuwa kumutia Daudi katika mikono yako.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 23:20
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Abeneri akamwambia Daudi: “Mimi sasa nitakwenda na kukuletea watu wote wa Israeli, wewe bwana wangu mufalme. Watakuja na kufanya agano nawe, kusudi ukuwe mufalme wao, nawe utawatawala wote kama unavyopenda.” Daudi akamwaga Abeneri aende zake, naye akaondoka kwa amani.


Watu waovu wanaona hayo na kuuzika. Wanasaga meno kwa chuki na kutoweka. Matumaini ya mutu mubaya yanapotea bure.


Ee Mungu, uniokoe kwa jina lako, unitetee kwa nguvu zako.


Matazamio ya wenye haki yana matokeo mazuri; tamaa za waovu zinaleta kasirani.


Usivizie kama mwovu kwa kushambulia makao ya mutu wa haki, wala usijaribu kuharibu nyumba yake,


Wengi wanapenda kujipendekeza kwa mutawala, lakini mutu anapata haki yake kwa Yawe.


“Ikiwa Mulawi yeyote atapenda mwenyewe anaweza kutoka katika muji wowote wa Israeli kwenda pale pahali Yawe alipochagua,


Daudi akamwuliza: “Wakaaji wa Keila watanitia katika mikono ya Saulo, mimi pamoja na watu wangu?” Yawe akamujibu: “Watakutia katika mikono yake.”


Saulo akawajibu: “Ninyi kweli munanionea huruma; Yawe awabariki.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ