Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 23:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Yonatani mwana wa Saulo akamufuata Daudi kule Horeshi, akamutia moyo kwamba Mungu anamulinda.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 23:16
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nikawaelezea jinsi Mungu alivyokuwa pamoja nami akinitendea kwa wema wake. Nikawaelezea vilevile maneno ambayo mufalme alikuwa ameniambia. Wao waliposikia hayo, wakasema: “Sasa, na tuanze kazi ya ujenzi.” Hivyo wakajitayarisha kwa kazi hiyo njema.


Ningeweza kuwatia moyo kwa maneno yangu, na maneno yangu ya faraja yangewatuliza.


Chuma kinanoa chuma, vilevile mutu anafundishwa na mwenzake.


Mafuta na marasi vinafurahisha moyo, vilevile utamu wa urafiki kuliko kujitoshelea mwenyewe.


Kwa sababu mumewavunja watu wa haki moyo kwa kusema uongo, ijapokuwa mimi sikuwavunja moyo, mukawaimarisha waovu wasiache mienendo yao mibaya na kuokoa maisha yao,


Lakini mimi nimekuombea, kusudi usipungukiwe na imani. Nawe utakaponirudilia tena, uwatie wandugu zako moyo.”


Halafu malaika toka mbinguni alimutokea kwa kumutia moyo.


Basi kwa kumaliza, musimame imara katika kuungana kwenu na Bwana kwa uwezo wa nguvu zake kubwa.


Lakini umupe Yoshua maagizo, umutie moyo na kumwimarisha, maana yeye ndiye atakayewaongoza watu hawa mpaka ngambo, kurizi inchi utakayoiona’.


Basi wewe mwana wangu, ukuwe hodari kwa njia ya neema uliyopata katika kuungana kwako na Kristo Yesu.


Daudi alijua kwamba Saulo alitaka kuyaangamiza maisha yake. Daudi akabaki katika mbuga za Zifu, kule Horeshi.


Sasa, Daudi alikuwa katika matatizo makubwa kwa sababu watu wake walikuwa na uchungu katika roho zao kwa kupoteza watoto wao. Kwa hiyo wakakuwa wakitaka kumupiga mawe. Lakini Daudi alijipa moyo kwa kumutegemea Yawe, Mungu wake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ