1 Samweli 23:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200214 Basi, Daudi alibaki katika makimbilio ndani ya jangwa, katika inchi ya milima ya mbuga za Zifu. Saulo alimutafuta kila siku, lakini Mungu hakumutia Daudi katika mikono yake. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |