1 Samweli 22:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20027 Naye Saulo akawaambia watumishi wake: “Sasa ninyi watu wa kabila la Benjamina munisikilize, munazani kwamba huyu Daudi mwana wa Yese atamupa kila mumoja wenu mashamba ya mizabibu na mashamba mengine? Au munazani kwamba atamufanya kila mumoja wenu kuwa mukubwa wa waaskari maelfu au mukubwa wa waaskari mamia? အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Sasa ilitokea kwamba kule Gilgali kulikuwa mutu mumoja wa ovyoovyo anayeitwa Seba mwana wa Bikiri, wa kabila la Benjamina. Basi Seba alipiga baragumu, na kusema: “Hatuna ushirika wowote na Daudi; hatuna sehemu yetu katika huyo mwana wa Yese. Enyi watu wa Israeli, kila mumoja ajiendee katika hema yake!”