1 Samweli 22:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Siku moja, Saulo alikuwa Gibea, akiikaa chini ya muti wa mukwaju, kwenye mulima, naye alikuwa na mukuki wake katika mukono na watumishi wake walikuwa wakimuzunguka. Basi akaambiwa kwamba Daudi na watu wake wameonekana. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |