1 Samweli 22:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200218 Kwa hiyo, mufalme Saulo akamwambia Doegi: “Wewe geuka uwaue makuhani.” Doegi Mwedomu akaenda na kuwaua makuhani wote. Siku hiyo, Doegi aliua makuhani makumi nane na watano ambao wanavaa vizibao vya kikuhani vya kitani. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |