Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 22:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Saulo akamwambia: “Kwa nini wewe na Daudi mwana wa Yese, mumenifanyia shauri baya? Kwa nini ulimupatia mikate na upanga, halafu ukamwombea kwa Mungu? Kwa sababu hiyo, leo ameniasi na ananivizia.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 22:13
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wenye kiburi wanasema uongo juu yangu, lakini mimi ninashika kanuni zako kwa moyo wote.


Basi, Amazia kuhani wa muji wa Beteli, akamupelekea mufalme Yeroboamu wa Israeli habari hii: Amosi analeta fitina juu yako katika ufalme wa Israeli. Hotuba zake ni hatari kwa inchi hii.


Saulo akasema: “Sasa sikiliza wewe mwana wa Ahitubu.” Ahimeleki akamujibu: “Ndiyo, bwana.”


Kwa nini ninyi wote mumenifanyia shauri baya? Hakuna hata mumoja wenu anayeniambia habari hii, wakati mwana wangu anapofanya mapatano na mutoto wa Yese. Tena, kwa nini hakuna hata mumoja kati yenu anayesikitika au kunielezea kwamba mwana wangu mwenyewe anamuchochea mutumishi wangu juu yangu akinivizia kama inavyokuwa leo hii?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ