Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 22:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Saulo akasema: “Sasa sikiliza wewe mwana wa Ahitubu.” Ahimeleki akamujibu: “Ndiyo, bwana.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 22:12
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Saulo alipoangalia nyuma, aliniona, akaniita. Nilipoitika,


Basi, Mefiboseti mwana wa Yonatani na mujukuu wa Saulo akaenda kwa mufalme Daudi, akainama uso mpaka chini mbele ya mufalme Daudi. Daudi akamwita: “Mefiboseti!” Naye akamujibu: “Ndiyo! Mimi mutumishi wako niko hapa.”


Yawe anasema; Nilikuwa tayari kujionyesha kwao wasiouliza habari zangu. Nilikuwa tayari kuwapokea wale wasionitafuta. Nililiambia taifa ambalo halikuomba kwa jina langu: Niko hapa! Niko hapa!


Mufalme Saulo akaagiza kuhani Ahimeleki mwana wa Ahitubu pamoja na watu wote wa jamaa ya baba yake ambao walikuwa makuhani kule Noba waitwe. Wote wakamwendea mufalme Saulo.


Saulo akamwambia: “Kwa nini wewe na Daudi mwana wa Yese, mumenifanyia shauri baya? Kwa nini ulimupatia mikate na upanga, halafu ukamwombea kwa Mungu? Kwa sababu hiyo, leo ameniasi na ananivizia.”


Naye Saulo akawaambia watumishi wake: “Sasa ninyi watu wa kabila la Benjamina munisikilize, munazani kwamba huyu Daudi mwana wa Yese atamupa kila mumoja wenu mashamba ya mizabibu na mashamba mengine? Au munazani kwamba atamufanya kila mumoja wenu kuwa mukubwa wa waaskari maelfu au mukubwa wa waaskari mamia?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ