1 Samweli 21:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Basi siku ile pale kulikuwa mutumishi mumoja wa Saulo ambaye alikuwa amezuiliwa mbele ya Yawe. Mutumishi yule aliitwa Doegi Mwedomu, aliyekuwa musimamizi wa wachungaji wa nyama wa Saulo. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |