1 Samweli 21:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Daudi akamwambia: “Kwa hakika, ninapokwenda kwa ajili ya shuguli kubwa, wanawake wanatengwa mbali nasi! Ikiwa miili ya vijana wangu inakuwa mitakatifu na safi tunapokuwa kwenye shuguli za kawaida, basi, si zaidi katika shuguli hii kubwa?” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |