Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 21:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Watumishi wa mufalme wakamwambia Akisi: “Huyu si Daudi, mufalme wa inchi ya Israeli? Si huyu ambaye walikuwa wakiimbiana juu yake katika ngoma, wakisema: ‘Saulo ameua maelfu yake na Daudi ameua elfu makumi yake?’ ”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 21:12
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Watu wa kule walipomwuliza juu ya muke wake, akajibu: “Huyu ni dada yangu.” Aliogopa kusema kwamba ni muke wake kwa kuogopa kwamba wakaaji wa inchi wangemwua kwa sababu ya Rebeka, maana Rebeka alikuwa muzuri sana.


Nimeshika neno lako ndani ya moyo wangu, kusudi nisikukosee.


Mumutukuze Yawe pamoja nami, wote pamoja tulisifu jina lake.


Muchana kutwa waadui zangu wananishambulia; ni wengi sana hao wanaonipiga vita.


Lakini Maria akachunga mambo hayo yote ndani ya moyo na kuyafikiri sana.


Basi Yesu akarudia Nazareti pamoja nao, akaendelea kuwatii. Na mama yake alichunga maneno haya yote katika moyo wake.


Vilevile walikuwa wanacheza na kuimba nyimbo za kuitikiana hivi: “Saulo ameua maelfu yake, na Daudi ameua elfu yake makumi.”


Ahimeleki akamujibu: “Upanga wa Goliati Mufilistini uliyemwua kwenye bonde la Ela uko nyuma ya efodi, unafungwa katika kitambaa. Ikiwa unataka kuukamata basi, uukamate maana hakuna upanga mwingine hapa.” Daudi akamwambia: “Hakuna upanga mwingine kama huo; unipe.”


Daudi akafikiri sana juu ya maneno yale, akaanza kumwogopa sana Akisi mufalme wa Gati.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ