1 Samweli 21:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200210 Ahimeleki akamujibu: “Upanga wa Goliati Mufilistini uliyemwua kwenye bonde la Ela uko nyuma ya efodi, unafungwa katika kitambaa. Ikiwa unataka kuukamata basi, uukamate maana hakuna upanga mwingine hapa.” Daudi akamwambia: “Hakuna upanga mwingine kama huo; unipe.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |