Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 21:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Ahimeleki akamujibu: “Upanga wa Goliati Mufilistini uliyemwua kwenye bonde la Ela uko nyuma ya efodi, unafungwa katika kitambaa. Ikiwa unataka kuukamata basi, uukamate maana hakuna upanga mwingine hapa.” Daudi akamwambia: “Hakuna upanga mwingine kama huo; unipe.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 21:10
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Elia akakimbilia katika muji wa Beri-Seba katika jimbo la Yuda, kule alikomwacha mutumishi wake,


Kwa mukubwa wa waimbaji. Kwa mutindo wa njiwa anayekaa mbali kwenye ukimya. Mashairi ya Daudi nyuma ya kukamatwa na Wafilistini kule Gati.


Naye mufalme Yoyakimu pamoja na waaskari shujaa wake na wakubwa wote wa serikali yake waliposikia mambo yale Uria aliyosema, mufalme alitaka kumwua. Lakini Uria alipopata habari ile, alishikwa na hofu, akatoroka na kwenda Misri.


Saulo pamoja na Waisraeli walikusanyika, na kupiga kambi katika bonde la Ela. Wakajipanga tayari kwa kupigana na Wafilistini.


Basi, akaenda mbio, akasimama juu ya Goliati, akachomoa upanga wa Goliati toka katika mufuko wake, akamwua Goliati kwa kumukata kichwa chake. Wafilistini walipoona kwamba shujaa wao ameuawa, wakakimbia mbio.


Ahimeleki alimwombea Daudi kwa Yawe, akamupa chakula na upanga wa yule Mufilistini Goliati.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ