Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 20:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Baba yako akitambua kwamba siko, basi umwambie: ‘Daudi amenisihi nimupe ruhusa kusudi aende mbio katika muji wake Betelehemu, kuhuzuria kwa sadaka ya kila mwaka pamoja na jamaa yake’.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 20:6
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Maandiko Matakatifu hayakusema kwamba Kristo atazaliwa katika ukoo wa mufalme Daudi na katika muji Betelehemu, pahali Daudi alipoishi?”


Lakini mutakwenda pahali ambapo Yawe, Mungu wenu, atachagua katika makabila yote kwa kuweka jina lake na makao yake hapo. Huko ndiko mutakakokwenda.


Saulo akamwuliza Daudi: “Kijana, wewe ni mwana wa nani?” Daudi akajibu: “Mimi ni mwana wa mutumishi wako Yese, kutoka muji wa Betelehemu.”


Yonatani akamujibu: “Alinisihi sana nimuruhusu aende Betelehemu.


Wale wabinti wakawajibu: “Ndiyo, yuko. Tena yuko mbele yenu; mukifanya haraka mutamukuta. Ameingia katika muji leo tu, kwa sababu leo watu watatoa sadaka kule kwenye mulima.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ