1 Samweli 20:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025 Daudi akamwambia: “Kesho ni sikukuu ya mwandamo wa mwezi, nami nilipaswa kuwa kwenye meza kwa kula pamoja na mufalme. Lakini uniache, niende kujificha kule katika shamba mpaka siku ya tatu magaribi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |