39 Lakini yule kijana hakujua kitu chochote juu ya maana ya kitendo hicho. Waliojua ni Yonatani na Daudi tu.
Fanya haraka na usisimame tu pahali pale.” Yule kijana alikusanya mishale na kumwendea bwana wake.
Yonatani akamupatia yule kijana silaha zake na kumwambia: “Kwenda urudi katika muji.”