37 Yule kijana alipofika pahali ambapo mushale uliangukia, Yonatani akamwambia: “Mushale uko mbele yako.
Lakini nikimwambia ‘Angalia, mishale iko mbele yako’, kwa hiyo, ondoka. Yawe atakuwa anataka uende mbali.
Fanya haraka na usisimame tu pahali pale.” Yule kijana alikusanya mishale na kumwendea bwana wake.