Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 20:35 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

35 Kesho yake asubui, Yonatani alikwenda kule katika shamba kwa kukutana na Daudi kama walivyoagana. Alikwenda kule na kijana mumoja wa kiume.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 20:35
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, Amasa akaenda kuwaita watu wa Yuda. Lakini akachelewa kurudi katika wakati ule aliopangiwa na mufalme.


Tena, kesho kutwa, watu watakukosa kabisa. Siku hiyo uende pahali ambapo ulijificha wakati jambo hili lilipokuwa lingali motomoto, ujifiche nyuma ya lundo la mawe.


Halafu Yonatani, akiwa amekasirika sana, aliondoka kwenye meza kwa haraka, wala hakukula chakula chochote siku hiyo ya pili ya sikukuu ya mwandamo mwezi. Yonatani alihuzunika sana juu ya Daudi kwa sababu baba yake alikuwa amemupatisha haya.


Alipofika kule alimwambia yule kijana wake: “Kimbia uitafute mishale ambayo nitapiga.” Yule kijana alipokuwa anakimbia Yonatani akapiga mushale mbele yake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ