Kwa sababu hiyo, Solomono alijaribu kumwua Yeroboamu. Lakini Yeroboamu akakimbilia Misri kwa Sisaki mufalme wa Misri, akakaa kule mpaka Solomono alipokufa.
Halafu Yonatani, akiwa amekasirika sana, aliondoka kwenye meza kwa haraka, wala hakukula chakula chochote siku hiyo ya pili ya sikukuu ya mwandamo mwezi. Yonatani alihuzunika sana juu ya Daudi kwa sababu baba yake alikuwa amemupatisha haya.