Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




1 Samweli 20:33 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

33 Lakini Saulo akamutupia Yonatani mikuki kusudi amwue. Naye Yonatani akatambua kwamba baba yake alikuwa amekusudia kumwua Daudi.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




1 Samweli 20:33
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa sababu hiyo, Solomono alijaribu kumwua Yeroboamu. Lakini Yeroboamu akakimbilia Misri kwa Sisaki mufalme wa Misri, akakaa kule mpaka Solomono alipokufa.


Basi, alimutupia Daudi mukuki mara mbili maana alifikiri: “Nitamubanisha Daudi kwenye ukuta.” Lakini Daudi aliepa mara zote mbili.


Saulo alijaribu kumuchoma Daudi kwa mukuki ule. Lakini Daudi aliepa mukuki wa Saulo na mukuki ukapiga ukuta. Daudi akakimbia na kutoroka.


Halafu Yonatani, akiwa amekasirika sana, aliondoka kwenye meza kwa haraka, wala hakukula chakula chochote siku hiyo ya pili ya sikukuu ya mwandamo mwezi. Yonatani alihuzunika sana juu ya Daudi kwa sababu baba yake alikuwa amemupatisha haya.


Ikiwa ataona hilo ni sawa, basi, ujue kwamba mambo yangu, mimi mutumishi wako, yako sawa. Kama sivyo, kusudi lake juu yangu ni baya.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ