1 Samweli 20:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 Daudi akaapa vilevile: “Hakika baba yako anajua vizuri kwamba nimepata kukubaliwa mbele yako. Anafikiri kukuficha juu ya jambo hili kusudi usihuzunike atakapolitenda. Lakini kweli, kama Yawe anavyoishi na kama wewe mwenyewe unavyoishi, kati yangu na lufu kuna hatua moja tu!” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |