1 Samweli 20:29 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200229 Aliniambia: ‘Uniruhusu niende kwa jamaa yangu, kwa maana wanatolea sadaka kule katika muji, na ndugu yangu amenitaka nikuwe pale. Hivyo kama nimepata kukubaliwa mbele yako, uniruhusu niende kwa wandugu zangu’. Ndiyo maana hayuko hapa kushiriki chakula cha mufalme.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |